Ijumaa, 3 Aprili 2015

kutoka bungeni dodoma,,,,

WANAFUNZI WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA WATEMBELEA BUNGENI MJINI DODOMA

 Wanafunzi 40 wa Chuo cha Mipango Dodoma leo wametembelea Bungeni mjini Dodoma katika ziara ya mafunzo ambapo walijifunza shughuli mbalimbali za kuendesha Bunge.
 Wanafunzi hao wakifuatilia kikao cho cha Bunge huku wengine wakipitia karatasi iliyo na orodha ya shuli zote zinazofanyika leo.
Na hii kwa wanafunzi dodoma ni kawaida sana
Wanafunzi hao wakiwa Bungeni hii leo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni