Jumatatu, 27 Aprili 2015

MANCHESTER YAANGUAKIA PUA,,

maisha yako kasi sana kwani wakati mashabiki na wapenzi wa manchester wakiwaza kuifanyia kufuru everton kumbe sarafu haikuwa upande wao cheki walivyogeuzwa cartoon

lukaku akitoa saluuuuute kwa mashabiki


Jumamosi, 18 Aprili 2015

kutana na talent tamu toka rock ctyTANICANDO

Huwezi amini kama hawa vijana bado wanahangaikia kutoka likini ki ukweli hawa watoto ni wabayaaaaaaaaaaaaaa sana cheki hapa ndani TANICANDO  wanaliwakilisha vyema jiji la mwanza kwani hawakuangushi kila stage wakituaaaaaa

KWA MIKAO HII NANI ATATOKA KWA MASOGANGE,,,,,,,,,,,,

 ungeambiwa umchukie kabla hajalijua jiji hakika usingekubali lakini leo pending text ziko nyingi sana kwake

HAYA SASA ACT NJIAI IKULU

ACT YANGURUMA SINGIDA YAENDELEA KUFUNGUA MATAWI

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kintintu mara baada ya kuzindua tawi la chama hicho.
Katika mazungumzo yake Zitto amesema ACT kinaweza kuunganisha nguvu na yama vingine vya upinzani ili kukiondoa chama cha mapinduzi kwenye uchaguzi mkuu ujao ambapo alisema shauku kubwa ya wananchi ni kutaka kujua msimamo wa ACT Wazalendo katika kushirikiana na vyama vingine vya siasa ili kufanikisha malengo ya kuiondoa CCM katika madaraka.

Kauli hiyo ilitolewa jana mjini Singida na Kiongozi wa ACT wazalendo Zitto Kabwe wakati akihutubia mamia ya wananchi katika uwanja wa shule ya msingi ukombozi.

"Tumedhamiria kuleta mapinduzi ya kiuchumi kwa kuubomoa mfumo  unaonyonya wananchi. Msimamo wetu upo wazi na tumeueleza mara kadhaa"alisema na kuongeza

“ACT- Wazalendo tunaunga mkono juhudi zozote za kushirikiana kwa vyama na hili linathibitishwa na jina letu Alliance na msimamo wetu kuhusu mabadiliko ya Katiba. Kubwa tunataka ushirikiano utakaonufaisha wananchi na sio ushirikiano wa kugawana nafasi za uongozi,” alisema Zitto.

Kiongozi huyo wa ACT alisema chama hicho hakina tatizo na kipo tayari kushirikiana na chama chochote kilichokuwa  tayari kushirikiana nao ikiwemo Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
 Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa Chama hicho Anna Mghwira wakizindua tawi la chama hicho kwenye Kijiji cha Kintintu wilayani Manyoni mkoani Singida.
 Wakazi wa Mji wa Singida wakishangilia viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakati waa mkutano huo jijini humo leo.
 Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Anna Mghwira, akiwahutubia wakazi wa Manyoni Mjini.
 Wakazi wa Manyoni wakipiga picha na simu zao.
 Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Manyoni.
 Wakazi wa Mji wa Singida wakishangilia viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakati waa mkutano huo jijini humo leo.
Viongozi wakiimba wimbo wa taifa.

Alhamisi, 16 Aprili 2015

LAKEZONIA INAMLETA LUDO MC nguli kwenye jamiii



 BAADA YA KUWAJUA CATTEGORY MC NA CATTEGOTY MC XAXA NI ZAMU YA KUMJUA  LUDO MC moja kati ya member wata3 wa LAKEZONIA HARAKATI MDUNDO NDO KAZI YA WANA


Jumatatu, 6 Aprili 2015

URAFIKI HAUCHAGUI,,,,,,,,,,,,,

Katika dunia ya leo binadamu wamekosa tene utu na urafiki umehamia kwa wanyama angalia jinsi mnyama huyu alivyoweza kuonyesha kuwa upendo haijarishi ni kwa nani na adui anweza kuwa rafiki na si kila adui aliumbwa kuwa adui weengine wameukuta uadui

Jumamosi, 4 Aprili 2015

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI,,,


Home » Magazeti » Ni April 4 2015, nakukutanisha na hiki kilichoandikwa Magazeti ya Tanzania LEO

 

Ni April 4 2015, nakukutanisha na hiki kilichoandikwa Magazeti ya Tanzania LEO


DSC00908
DSC00909
DSC00910
DSC00911
DSC00912
DSC00913
DSC00915
DSC00916
DSC00917
DSC00918
DSC00919
DSC00920
DSC00921
DSC00922
DSC00923
DSC00924
DSC00925
DSC00926
DSC00927
DSC00929
DSC00930
DSC00931
DSC00932  DSC00934
DSC00935
DSC00936
DSC00937
DSC00938
DSC00939
DSC00941
DSC00942
DSC00943Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu

Ijumaa, 3 Aprili 2015

HAYA SASA DIAMOND V/S DAVIDO



“I met Davido when he came over to Tanzania for a show and when we were together, he heard my song. I told him I would love to feature him on the remix of my song, ‘Number One’, and he agreed. Currently the song is topping charts in various African countries.”

“Shortly after, he released Aye and that made him very popular in my country as well. They love the song in my country. I featured Davido on the track because I wanted to launch myself into the West African market and he was the best person for the job. I used Davido to break into the West African market,” the Tanzanian singer said further.

wale wale wakali toka Rock cty LAKEZONIA

bjero na gflaver kwa stage wakifanya yao ndani yaa jiji la mwanza wanakuja hawa majamaaa
mashabiki walipagawa sana kwa kila ngoma iliyochezwa,,,,,,,,

kutoka bungeni dodoma,,,,

WANAFUNZI WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA WATEMBELEA BUNGENI MJINI DODOMA

 Wanafunzi 40 wa Chuo cha Mipango Dodoma leo wametembelea Bungeni mjini Dodoma katika ziara ya mafunzo ambapo walijifunza shughuli mbalimbali za kuendesha Bunge.
 Wanafunzi hao wakifuatilia kikao cho cha Bunge huku wengine wakipitia karatasi iliyo na orodha ya shuli zote zinazofanyika leo.
Na hii kwa wanafunzi dodoma ni kawaida sana
Wanafunzi hao wakiwa Bungeni hii leo.